Swali: Huyu ni muulizaji kutoka nje ya nchi ambaye anauliza kama inafaa kwao kufanya mihadhara na darsa katika misikiti ya Ahl-ul-Bid´ah na kuacha misikiti ya Ahl-us-Sunnah?
Jibu: Hapana. Fanyeni hayo katika misikiti ya Ahl-us-Sunnah na wale wanaotaka kheri watakujieni katika misikiti ya Ahl-us-Sunnah. Kwa sababu iwapo mtafanya hayo katika misikiti ilio na Bid´ah itakuwa ni kuwashaji´isha juu ya hayo na isitoshe vilevile watatumia hoja kule kuja kwenu kwamba inafaa zile Bid´ah zao.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/17481
- Imechapishwa: 24/11/2017
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)