Swali: Ni ipi hukumu ya kuuza mbwa za mawindo?
Jibu: Haijuzu kufanya biashara ya mbwa. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amekataza kufanya biashara ya mbwa. Ni mbwa wako, lakini haifai ukamuuza. Haijuzu kufanya biashara ya mbwa wala paka.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (42)
- Imechapishwa: 01/12/2023
Swali: Ni ipi hukumu ya kuuza mbwa za mawindo?
Jibu: Haijuzu kufanya biashara ya mbwa. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amekataza kufanya biashara ya mbwa. Ni mbwa wako, lakini haifai ukamuuza. Haijuzu kufanya biashara ya mbwa wala paka.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (42)
Imechapishwa: 01/12/2023
https://firqatunnajia.com/kufanya-biashara-ya-mbwa-wa-mawindo/