Swali: Ni ipi hukumu ya kuuza mbwa za mawindo?
Jibu: Haijuzu kufanya biashara ya mbwa. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amekataza kufanya biashara ya mbwa. Ni mbwa wako, lakini haifai ukamuuza. Haijuzu kufanya biashara ya mbwa wala paka.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (42)
- Imechapishwa: 01/12/2023
Swali: Ni ipi hukumu ya kuuza mbwa za mawindo?
Jibu: Haijuzu kufanya biashara ya mbwa. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amekataza kufanya biashara ya mbwa. Ni mbwa wako, lakini haifai ukamuuza. Haijuzu kufanya biashara ya mbwa wala paka.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (42)
Imechapishwa: 01/12/2023
https://firqatunnajia.com/kufanya-biashara-ya-mbwa-wa-mawindo/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)