Swali: Mtu kudumu kwa kuswali kila siku Rak´ah nne kabla ya swalah ya ´Aswr ni katika Sunnah?
Jibu: Ndio, ni katika Sunnah. Mwenye kuswali nne kabla ya ´Aswrl, basi Allaah atamjengea nyumba Peponi.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/liqo-24-07-1435-01.mp3
- Imechapishwa: 03/05/2015
Swali: Mtu kudumu kwa kuswali kila siku Rak´ah nne kabla ya swalah ya ´Aswr ni katika Sunnah?
Jibu: Ndio, ni katika Sunnah. Mwenye kuswali nne kabla ya ´Aswrl, basi Allaah atamjengea nyumba Peponi.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/liqo-24-07-1435-01.mp3
Imechapishwa: 03/05/2015
https://firqatunnajia.com/kudumu-kwa-kuswali-rakah-nne-kabla-ya-swalah-ya-aswr/