Swali: Ni ipi hukumu ya dini juu ya mtu kubadilisha uraia wake, sawa ubadilishaji huu ikiwa ni kutoka katika mji wa kiarabu wa Kiislamu na kwenda katika mji wa kiarabu wa Kiislamu mwingine, kutoka katika mji wa kiarabu wa Kiislamu na kwenda katika mji wa kiulaya pamoja na mtu kushikamana na ´Aqiydah yake ya Kiislamu?
Jibu: Muislamu kuhamisha uraia wake kutoka katika nchi ya Kiislamu na kwenda uraia wa nchi nyingine ya Kiislamu inajuzu. Ama muislamu kuhamisha uraia wake kutoka katika nchi ya Kiislamu na kwenda katika uraia wa nchi ya kikafiri haijuzu.
- Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (2/72)
- Imechapishwa: 24/08/2020
Swali: Ni ipi hukumu ya dini juu ya mtu kubadilisha uraia wake, sawa ubadilishaji huu ikiwa ni kutoka katika mji wa kiarabu wa Kiislamu na kwenda katika mji wa kiarabu wa Kiislamu mwingine, kutoka katika mji wa kiarabu wa Kiislamu na kwenda katika mji wa kiulaya pamoja na mtu kushikamana na ´Aqiydah yake ya Kiislamu?
Jibu: Muislamu kuhamisha uraia wake kutoka katika nchi ya Kiislamu na kwenda uraia wa nchi nyingine ya Kiislamu inajuzu. Ama muislamu kuhamisha uraia wake kutoka katika nchi ya Kiislamu na kwenda katika uraia wa nchi ya kikafiri haijuzu.
Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (2/72)
Imechapishwa: 24/08/2020
https://firqatunnajia.com/kuchukua-uraia-wa-nchi-ya-kikafiri/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)