Swali: Ni ipi hukumu ya kafiri kuchukua uraia wa nchi ya Kiislamu?
Jibu: Kafiri kuchukua uraia wa nchi ya Kiislamu inajuzu midhali kunaaminika fitina juu yake na kunatarajiwa kheri juu yake. Lakini hata hivyo asiachwe akaishi katika kisiwa cha waarabu isipokuwa akiingia katika Uislamu. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ameusia kuwatoa washirikina katika kisiwa cha waarabu.
- Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (2/74)
- Imechapishwa: 24/08/2020
Swali: Ni ipi hukumu ya kafiri kuchukua uraia wa nchi ya Kiislamu?
Jibu: Kafiri kuchukua uraia wa nchi ya Kiislamu inajuzu midhali kunaaminika fitina juu yake na kunatarajiwa kheri juu yake. Lakini hata hivyo asiachwe akaishi katika kisiwa cha waarabu isipokuwa akiingia katika Uislamu. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ameusia kuwatoa washirikina katika kisiwa cha waarabu.
Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (2/74)
Imechapishwa: 24/08/2020
https://firqatunnajia.com/kafiri-kuchukua-uraia-wa-nchi-ya-kiislamu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)