Swali: Je, muislamu kufanya kazi katika nchi ya kikafiri inajuzu? Je, kitendo cha Yuusuf kinaingia katika hili?
Jibu: Ikiwa anajiamini fitina juu ya nafsi yake katika dini yake na akawa ni mwenye kujihifadhi na ni mjuzi akitarajia kuwatengeneza wengine na manufaa yake yakawa yataenea kwa wengine na asiwasaidie katika batili, itakuwa inajuzu kufanya kazi katika nchi ya kikafiri. Miongoni mwa watu hawa kunaingia pia Yuusuf (´alayhis-Swalaatu was-Salaam). La sivyo itakuwa haijuzu.
- Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (2/275)
- Imechapishwa: 24/08/2020
Swali: Je, muislamu kufanya kazi katika nchi ya kikafiri inajuzu? Je, kitendo cha Yuusuf kinaingia katika hili?
Jibu: Ikiwa anajiamini fitina juu ya nafsi yake katika dini yake na akawa ni mwenye kujihifadhi na ni mjuzi akitarajia kuwatengeneza wengine na manufaa yake yakawa yataenea kwa wengine na asiwasaidie katika batili, itakuwa inajuzu kufanya kazi katika nchi ya kikafiri. Miongoni mwa watu hawa kunaingia pia Yuusuf (´alayhis-Swalaatu was-Salaam). La sivyo itakuwa haijuzu.
Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (2/275)
Imechapishwa: 24/08/2020
https://firqatunnajia.com/inafaa-kufanya-kazi-katika-mji-wa-kikafiri/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)