Swali: Je, inafaa kuchelewesha swalah ya Tarawiyh mpaka mwisho wa usiku?
Jibu: Ndio, ni sawa. Ikisahilika kufanya hivo mwishoni mwa usiku ndio bora. Ikiwepesika kufanya hivo mwishoni mwa usiku ndio bora. Waislamu wanaswali mwanzoni mwa usiku kwa sababu ndio kunawapa uchangamfu zaidi na kuko karibu zaidi kuitekeleza. Kwa sababu watu wengi wakilala watashindwa kuamka mwishoni mwa usiku. Kwa hivyo ikiwepesika kuiswali mwishoni mwa usiku ndio bora zaidi.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/18500/تاخير-صلاة-التراويح-الى-اخر-الليل
- Imechapishwa: 10/04/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)