Swali: Baadhi yao ukiwaambia waape kwa jina la Allaah wanafanya hivo na ukiwaambia waape kwa jina la walii wanafanya hivo.
Jibu: Asiape kwa walii. Huku ni kumtukuza walii. Akiwa anamtukuza walii zaidi ya anavyomtukuza Allaah ni ukafiri mkubwa.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: ttps://binbaz.org.sa/fatwas/22063/حكم-الحلف-بالاولياء-وتعظيمهم
- Imechapishwa: 21/10/2022
Swali: Baadhi yao ukiwaambia waape kwa jina la Allaah wanafanya hivo na ukiwaambia waape kwa jina la walii wanafanya hivo.
Jibu: Asiape kwa walii. Huku ni kumtukuza walii. Akiwa anamtukuza walii zaidi ya anavyomtukuza Allaah ni ukafiri mkubwa.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: ttps://binbaz.org.sa/fatwas/22063/حكم-الحلف-بالاولياء-وتعظيمهم
Imechapishwa: 21/10/2022
https://firqatunnajia.com/kuapa-kwa-walii-na-kumtukuza/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)