Swali: Baadhi ya watu ukiwaapia kwa jina la Allaah wanakataa na wanataka uape kwa msahafu na hawakuoni ni mkweli mpaka uape kwa msahafu.
Jibu: Hapana, hakuhitajiki kuapa kwa msahafu. Hakuna haja ya kuwakalifisha watu. Hiyo ni njia moja wapo ya kukifanya kikubwa kiapo. Si lazima kufanya hivo. Inatosha kuapa kwa jina la Allaah tu.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22064/ما-حكم-الحلف-على-المصحف
- Imechapishwa: 21/10/2022
Swali: Baadhi ya watu ukiwaapia kwa jina la Allaah wanakataa na wanataka uape kwa msahafu na hawakuoni ni mkweli mpaka uape kwa msahafu.
Jibu: Hapana, hakuhitajiki kuapa kwa msahafu. Hakuna haja ya kuwakalifisha watu. Hiyo ni njia moja wapo ya kukifanya kikubwa kiapo. Si lazima kufanya hivo. Inatosha kuapa kwa jina la Allaah tu.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22064/ما-حكم-الحلف-على-المصحف
Imechapishwa: 21/10/2022
https://firqatunnajia.com/kuapa-kwa-msahafu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)