Swali: Kuna mwanamke ameporomosha mimba baada ya kukamilika kwake.
Jibu: Ni lazima kwake kutubu kwa Allaah na ni lazima kwake kutoa diyaa. Vilevile anatakiwa kuadhibiwa na kutiwa adabu.
Swali: Hana kafara?
Jibu: Hapana. Ikiwa amefanya hivo kwa makusudi hakuna kafara. Kafara inakuwa kuua kimakosa au tukio linalofanana na kuua kimakosa.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22066/حكم-من-اسقطت-جنينها-متعمدة-بعد-اكتماله
- Imechapishwa: 21/10/2022
Swali: Kuna mwanamke ameporomosha mimba baada ya kukamilika kwake.
Jibu: Ni lazima kwake kutubu kwa Allaah na ni lazima kwake kutoa diyaa. Vilevile anatakiwa kuadhibiwa na kutiwa adabu.
Swali: Hana kafara?
Jibu: Hapana. Ikiwa amefanya hivo kwa makusudi hakuna kafara. Kafara inakuwa kuua kimakosa au tukio linalofanana na kuua kimakosa.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22066/حكم-من-اسقطت-جنينها-متعمدة-بعد-اكتماله
Imechapishwa: 21/10/2022
https://firqatunnajia.com/ameavya-mimba-baada-ya-kukamilika-kwake/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)