Swali: Baadhi yao ukiwaambia waape kwa jina la Allaah wanafanya hivo na ukiwaambia waape kwa jina la walii wanafanya hivo.
Jibu: Asiape kwa walii. Huku ni kumtukuza walii. Akiwa anamtukuza walii zaidi ya anavyomtukuza Allaah ni ukafiri mkubwa.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: ttps://binbaz.org.sa/fatwas/22063/حكم-الحلف-بالاولياء-وتعظيمهم
- Imechapishwa: 21/10/2022
Swali: Baadhi yao ukiwaambia waape kwa jina la Allaah wanafanya hivo na ukiwaambia waape kwa jina la walii wanafanya hivo.
Jibu: Asiape kwa walii. Huku ni kumtukuza walii. Akiwa anamtukuza walii zaidi ya anavyomtukuza Allaah ni ukafiri mkubwa.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: ttps://binbaz.org.sa/fatwas/22063/حكم-الحلف-بالاولياء-وتعظيمهم
Imechapishwa: 21/10/2022
https://firqatunnajia.com/kuapa-kwa-walii-na-kumtukuza/