Swali: Je, inajuzu kuapa kwa Qur-aan na kuapa kwa asiyekuwa Allaah?
Jibu: Inajuzu kuapa kwa Qur-aan kwa kuwa ni maneno ya Allaah. Maneno Yake ni sifa miongoni mwa sifa Zake (Ta´ala).
Ama kuhusu kuapa kwa asiyekuwa Allaah haijuzu. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Mwenye kuapa kwa asiyekuwa Allaah amefanya shirki.”
- Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (1/235-236)
- Imechapishwa: 24/08/2020
Swali: Je, inajuzu kuapa kwa Qur-aan na kuapa kwa asiyekuwa Allaah?
Jibu: Inajuzu kuapa kwa Qur-aan kwa kuwa ni maneno ya Allaah. Maneno Yake ni sifa miongoni mwa sifa Zake (Ta´ala).
Ama kuhusu kuapa kwa asiyekuwa Allaah haijuzu. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Mwenye kuapa kwa asiyekuwa Allaah amefanya shirki.”
Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (1/235-236)
Imechapishwa: 24/08/2020
https://firqatunnajia.com/kuapa-kwa-qur-aan/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)