Swali: Baadhi ya watu ukiwaapia kwa jina la Allaah wanakataa na wanataka uape kwa msahafu na hawakuoni ni mkweli mpaka uape kwa msahafu.
Jibu: Hapana, hakuhitajiki kuapa kwa msahafu. Hakuna haja ya kuwakalifisha watu. Hiyo ni njia moja wapo ya kukifanya kikubwa kiapo. Si lazima kufanya hivo. Inatosha kuapa kwa jina la Allaah tu.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22064/ما-حكم-الحلف-على-المصحف
- Imechapishwa: 21/10/2022
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket