Swali: Ni lazima kuandikiana mkopo?
Jibu: Allaah ameamrisha jambo hilo. Kumepokelewa katika Hadiyth yanayotilia nguvu jambo hilo. Inatakiwa kuandikiana wakati wa kukopeshana, kwa sababu kila mmoja anaweza kusahau.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23205/ما-حكم-كتابة-الدين
- Imechapishwa: 25/11/2023
Swali: Ni lazima kuandikiana mkopo?
Jibu: Allaah ameamrisha jambo hilo. Kumepokelewa katika Hadiyth yanayotilia nguvu jambo hilo. Inatakiwa kuandikiana wakati wa kukopeshana, kwa sababu kila mmoja anaweza kusahau.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23205/ما-حكم-كتابة-الدين
Imechapishwa: 25/11/2023
https://firqatunnajia.com/kuandikiana-wakati-wa-kukopeshana/