Swali: Kuhusu barua au kaseti inasimama mahali pa nasaha za moja kwa moja?
Jibu: Ndio. Allaah hunufaisha kupitia kanda nzuri. Ni katika kutoa nasaha pindi mtu ataieneza kwa watu kutoka kwa wanazuoni wazuri na wenye kuaminika.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/21988/هل-يقوم-الكتيب-والشريط-مقام-النصيحة
- Imechapishwa: 08/10/2022
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket