Swali: Je, kuna dalili inayomjuzishia mtu kuandika kitu katika Qur-aan kisha akajipangusa nayo na kuinywa?
Jibu: Hayo yamefanywa na Salaf na wakaita kuwa ni ”matabano”. Wanaandika kwenye sahani, karatasi na zafarini kisha wanajiosha nayo. Yamefanywa na baadhi ya Salaf. Ibn-ul-Qayyim ametaja kutoka kwa Salaf wengi ya kwamba ni kitendo kinachonufaisha kwa idhini ya Allaah. Mtu anaandika baadhi ya Aayah au du´aa kwa zafarini kisha anajiosha nazo na kuzinywa.
Swali: Kwa hiyo ambaye anafanya hivo hakaripiwi?
Jibu: Hapana vibaya. Kwa sababu sio kuitundika, bali ameinywa tu.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24518/حكم-كتابة-شيء-من-القران-ومسحه-وشربه
- Imechapishwa: 30/10/2024
Swali: Je, kuna dalili inayomjuzishia mtu kuandika kitu katika Qur-aan kisha akajipangusa nayo na kuinywa?
Jibu: Hayo yamefanywa na Salaf na wakaita kuwa ni ”matabano”. Wanaandika kwenye sahani, karatasi na zafarini kisha wanajiosha nayo. Yamefanywa na baadhi ya Salaf. Ibn-ul-Qayyim ametaja kutoka kwa Salaf wengi ya kwamba ni kitendo kinachonufaisha kwa idhini ya Allaah. Mtu anaandika baadhi ya Aayah au du´aa kwa zafarini kisha anajiosha nazo na kuzinywa.
Swali: Kwa hiyo ambaye anafanya hivo hakaripiwi?
Jibu: Hapana vibaya. Kwa sababu sio kuitundika, bali ameinywa tu.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24518/حكم-كتابة-شيء-من-القران-ومسحه-وشربه
Imechapishwa: 30/10/2024
https://firqatunnajia.com/kuandika-baadhi-ya-aayah-kisha-kujipangusa-nazo-na-kuzinywa/