Swali: Kuandika “an-Naas” na “al-Falaq” na Aayah ya “al-Kursiy” katika karatasi kisha mtu akaweka ndani ya kikombe cha maji kwa ajili ya kumtabana mtu ambaye amepatwa na kijicho. Je, njia hii ni inakubalika katika Shari´ah?
Jibu: Haya ni matabano. Maimamu, akiwemo Imaam Ahmad na Ibn-ul-Qayyim[1], wamesema kuwa hakuna neno kuziandika Aayah na du´aa kwenye sahani au kwenye karatasi kisha mtu akamwagilia maji masafi na mgonjwa akayanywa. Hii ni moja ya matabano yanayofaa.
[1] Zaad-ul-Ma´aad (04/170).
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ma´aalim Manhaj Ahl-is-Sunnah wal-Jamaa´ah, uk. 40
- Imechapishwa: 23/05/2021
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket