Swali: Pindi mtu anaoga josho la janaba inatosha mtu akamwaga maji juu ya mwili au ni lazima vilevile mtu asugue kwa mkono?
Jibu: Kusugua ni kitu kilichopendekezwa tu na sio jambo la lazima. Lakini ikiwa yuko na kitu mwilini mwake ambacho hakiondiki kwa maji basi anapaswa kukisugua. Muhimu ni kupitisha maji juu ya mwili.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (20)
- Imechapishwa: 23/05/2021
Swali: Pindi mtu anaoga josho la janaba inatosha mtu akamwaga maji juu ya mwili au ni lazima vilevile mtu asugue kwa mkono?
Jibu: Kusugua ni kitu kilichopendekezwa tu na sio jambo la lazima. Lakini ikiwa yuko na kitu mwilini mwake ambacho hakiondiki kwa maji basi anapaswa kukisugua. Muhimu ni kupitisha maji juu ya mwili.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (20)
Imechapishwa: 23/05/2021
https://firqatunnajia.com/ni-lazima-kusugua-mwili-wakati-wa-kuoga-janaba/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)