Swali: Imepokelewa katika Hadiyth:
“Atakayekaa katika mkeka wake baada ya swalah ya Fajr mpaka jua kuchomoza ni kama ambaye amefanya Hajj na ´Umrah kikamilifu kikamilifu.”
au maneno mfano wa hayo. Je, hiyo ina maana kwamba mwenye kufanya hivo ana ujira mfano wa yule aliyefanya Hajj na ´Umrah au ni vipi?
Jibu: Mosi: Hadiyth hii kuna maneno juu yake. Wanachuoni wengi wameidhoofisha.
Pili: Tukichukulia kuwa ni Swahiyh thawabu hazitakiwi kufanyiwa kipimo. Mtu anaweza kulipwa kwa kitendo kidogo thawabu za matendo mengi. Kwa sababu thawabu ni fadhilah kutoka kwa Allaah (´Azza wa Jall) anazompa amtakaye.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Liqaa´ ash-Shahriy (74) http://binothaimeen.net/content/1737
- Imechapishwa: 25/09/2020
Swali: Imepokelewa katika Hadiyth:
“Atakayekaa katika mkeka wake baada ya swalah ya Fajr mpaka jua kuchomoza ni kama ambaye amefanya Hajj na ´Umrah kikamilifu kikamilifu.”
au maneno mfano wa hayo. Je, hiyo ina maana kwamba mwenye kufanya hivo ana ujira mfano wa yule aliyefanya Hajj na ´Umrah au ni vipi?
Jibu: Mosi: Hadiyth hii kuna maneno juu yake. Wanachuoni wengi wameidhoofisha.
Pili: Tukichukulia kuwa ni Swahiyh thawabu hazitakiwi kufanyiwa kipimo. Mtu anaweza kulipwa kwa kitendo kidogo thawabu za matendo mengi. Kwa sababu thawabu ni fadhilah kutoka kwa Allaah (´Azza wa Jall) anazompa amtakaye.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Liqaa´ ash-Shahriy (74) http://binothaimeen.net/content/1737
Imechapishwa: 25/09/2020
https://firqatunnajia.com/kitendo-kidogo-thawabu-nyingi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)