Swali: Ni ipi hukumu ya kutumia kitanzi cha kuzuia mimba (coil)?
Jibu: Wanafanya hivo kwa ajili ya kuzuia mimba. Bora ni kuacha kufanya hivo. Bora ni kuacha kutumia kidude na vidonge vya kuzuia mimba. Azae isipokuwa kama kuna haja; ikiwa kushika mimba kunamdhuru au ana watoto wengi ambapo wakaridhiana na mume wake. Katika hali hiyo hapana vibaya – Allaah akitaka.
Swali: Wakati wa haja atumie kitanzi cha kuzuia mimba?
Jibu: Kitanzi cha kuzuia mimba na vidonge kwa sababu vinazuia mimba kwa muda tu.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22193/حكم-استخدام-اللولب-والحبوب-لمنع-الحمل
- Imechapishwa: 11/11/2022
Swali: Ni ipi hukumu ya kutumia kitanzi cha kuzuia mimba (coil)?
Jibu: Wanafanya hivo kwa ajili ya kuzuia mimba. Bora ni kuacha kufanya hivo. Bora ni kuacha kutumia kidude na vidonge vya kuzuia mimba. Azae isipokuwa kama kuna haja; ikiwa kushika mimba kunamdhuru au ana watoto wengi ambapo wakaridhiana na mume wake. Katika hali hiyo hapana vibaya – Allaah akitaka.
Swali: Wakati wa haja atumie kitanzi cha kuzuia mimba?
Jibu: Kitanzi cha kuzuia mimba na vidonge kwa sababu vinazuia mimba kwa muda tu.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22193/حكم-استخدام-اللولب-والحبوب-لمنع-الحمل
Imechapishwa: 11/11/2022
https://firqatunnajia.com/kitanzi-cha-kuzuia-mimba-au-kidude/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)