Swali: Je, inafaa kwa mwanamke aliye na hedhi kusoma Qur-aan?
Jibu: Ndio, asome kiyomoni bila kuigusa Qur-aan. Aisome kimoyoni akichelea kuisahau kama amehifadhi; asome pasi na kugusa msahafu. Vivyo hivyo kama ni wakati wa mtihani; aisome pasi na kugusa msahafu. Aisome nyuma ya kizuizi.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (39)
- Imechapishwa: 01/06/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)