Swali: Ni kipi bora mtu amwombe Allaah ampe kichache cha dunia au amzidishie mali?
Jibu: Akiwa anataka kutendea kazi kumtii Allaah na kuwanufaisha waislamu basi analazimika kufanya sababu muda wa kuwa shughuli hizo hazimshughulishi kutokamana na Aakhirah. Afanye kazi ili baadaye anawanufaishe watu kama walivofanya Maswahabah akiwemo Abu Bakr, ´Umar na ´Abdur-Rahmaan bin ´Awf (Radhiya Allaahu ´anhum). Walijitolea katika njia ya Allaah na wakafanya vizuri. Kwa sharti dunia hiyo isimshughulishe kutokamana na Aakhirah.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22180/هل-طلب-التزود-من-المال-افضل-ام-التقلل
- Imechapishwa: 31/10/2022
Swali: Ni kipi bora mtu amwombe Allaah ampe kichache cha dunia au amzidishie mali?
Jibu: Akiwa anataka kutendea kazi kumtii Allaah na kuwanufaisha waislamu basi analazimika kufanya sababu muda wa kuwa shughuli hizo hazimshughulishi kutokamana na Aakhirah. Afanye kazi ili baadaye anawanufaishe watu kama walivofanya Maswahabah akiwemo Abu Bakr, ´Umar na ´Abdur-Rahmaan bin ´Awf (Radhiya Allaahu ´anhum). Walijitolea katika njia ya Allaah na wakafanya vizuri. Kwa sharti dunia hiyo isimshughulishe kutokamana na Aakhirah.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22180/هل-طلب-التزود-من-المال-افضل-ام-التقلل
Imechapishwa: 31/10/2022
https://firqatunnajia.com/kipi-bora-kutafuta-mali-nyingi-au-kinyume-chake/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)