Swali 32: Je, maneno haya ni sahihi kwamba kiongozi ni yule ambaye waislamu wote wamekusanyika juu yake kuanzia mashariki mpaka magharibi?
Jibu: Haya ni maneno ya Khawaarij. Imamu ni yule aliyeteuliwa na Ahl-ul-Hall wal-´Aqd katika waislamu. Ni lazima kwa waliobaki kumtii. Si lazima eti watu wote wampe kiapo cha usikivu na utiifu kuanzia magharibi mpaka magharibi, wanaume kwa wanawake. Huu sio mfumo wa Uislamu katika kuteua uongozi.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa ´Ulamaa-ul-Kibaar fiy al-Irhaab wat-Tadmiyr, uk. 142
- Imechapishwa: 28/09/2019
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)