Chuo kikuu hiki kimejikita katika masomo maalum. Kimejikita katika kuilinda ´Aqiydah sahihi, ´Aqiydah ya Ahl-us-Sunnah wal-Jamaa´ah. Nyinyi ni warithi wa waliokutangulieni. Baada yao nyinyi ndio ambao mtasimamia kuilinda ´Aqiydah hii. Haihusiani na kulinda ´Aqiydah ya Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab, bali ´Aqiydah ya Ahl-us-Sunnah wal-Jamaa´ah ambao ni wale Maswahabah, wanafunzi wa Maswahabah na wale waliowafuata kwa wema.
Hawezi kuitetea ´Aqiydah hii isipokuwa yule mtu ambaye ameifahamu na akaielewa. Nyinyi mnafanya kazi muhimu pindi mnaposoma, mkafundisha na kulingania katika dini ya Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala).
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/14-05-1437.mp3 Muhadhara: Himaayat-ush-Shabaab min-al-Afkaar al-Haddaamah
- Imechapishwa: 11/12/2020
Chuo kikuu hiki kimejikita katika masomo maalum. Kimejikita katika kuilinda ´Aqiydah sahihi, ´Aqiydah ya Ahl-us-Sunnah wal-Jamaa´ah. Nyinyi ni warithi wa waliokutangulieni. Baada yao nyinyi ndio ambao mtasimamia kuilinda ´Aqiydah hii. Haihusiani na kulinda ´Aqiydah ya Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab, bali ´Aqiydah ya Ahl-us-Sunnah wal-Jamaa´ah ambao ni wale Maswahabah, wanafunzi wa Maswahabah na wale waliowafuata kwa wema.
Hawezi kuitetea ´Aqiydah hii isipokuwa yule mtu ambaye ameifahamu na akaielewa. Nyinyi mnafanya kazi muhimu pindi mnaposoma, mkafundisha na kulingania katika dini ya Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala).
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/14-05-1437.mp3 Muhadhara: Himaayat-ush-Shabaab min-al-Afkaar al-Haddaamah
Imechapishwa: 11/12/2020
https://firqatunnajia.com/kinachotarajiwa-kwa-wanafunzi-wanaotakharuji/