Swali: Mtu ambaye anavaa kilemba katika nchi ambayo hakuvaliwi kilemba akemewe?
Jibu: Ndio. Avae kama wanavyovaa watu wa mji maadamu kivazi hicho sio haramu. Ikiwa kivazi chao kimeruhusiwa avae kama wao. Asiende kinyume nao kwa sababu kufanya hivo ni kutaka kuonekana. Ni kivazi cha kutaka kuonekana.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (40) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighatsah%20%20-%2028%20-%2012%20-%201436.mp3
- Imechapishwa: 13/02/2017
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)