Swali: Mtu ambaye anavaa kilemba katika nchi ambayo hakuvaliwi kilemba akemewe?
Jibu: Ndio. Avae kama wanavyovaa watu wa mji maadamu kivazi hicho sio haramu. Ikiwa kivazi chao kimeruhusiwa avae kama wao. Asiende kinyume nao kwa sababu kufanya hivo ni kutaka kuonekana. Ni kivazi cha kutaka kuonekana.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (40) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighatsah%20%20-%2028%20-%2012%20-%201436.mp3
- Imechapishwa: 13/02/2017
Swali: Mtu ambaye anavaa kilemba katika nchi ambayo hakuvaliwi kilemba akemewe?
Jibu: Ndio. Avae kama wanavyovaa watu wa mji maadamu kivazi hicho sio haramu. Ikiwa kivazi chao kimeruhusiwa avae kama wao. Asiende kinyume nao kwa sababu kufanya hivo ni kutaka kuonekana. Ni kivazi cha kutaka kuonekana.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (40) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighatsah%20%20-%2028%20-%2012%20-%201436.mp3
Imechapishwa: 13/02/2017
https://firqatunnajia.com/kilemba-katika-nchi-geni/
Mshirikishe mwenzako:
- Share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Print (Opens in new window) Print
- Email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Share on X (Opens in new window) X
- Share on Pocket (Opens in new window) Pocket