Shaykh-ul-Islaam Ibn Taymiyyah anasema kila mtu wa Bid´ah ni muongo. Mtu wa Bid´ah ni lazima aseme uongo. Hata kama atasalimika na kuwasemea watu uongo anamsemea uongo Allaah kwa kuingiza Bid´ah katika Dini Yake na kuiasisi na kuinasibisha katika Dini ya Allaah na Shari´ah Yake.
Leo wananasibisha Bid´ah katika Manhaj ya Salaf – tunaomba kinga kwa Allaah.
Manhaj ya Salaf ndio Dini ya Allaah ya haki. Kunasibisha Bid´ah katika Dini ya Allaah, pasina kujali ni Bid´ah gani, ni kumsemea uongo Allaah (´Azza wa Jall).
- Muhusika: ´Allaamah Rabiy´ bin Haadiy al-Madkhaliy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://subulsalam.com/play.php?catsmktba=26899
- Imechapishwa: 20/05/2015
Shaykh-ul-Islaam Ibn Taymiyyah anasema kila mtu wa Bid´ah ni muongo. Mtu wa Bid´ah ni lazima aseme uongo. Hata kama atasalimika na kuwasemea watu uongo anamsemea uongo Allaah kwa kuingiza Bid´ah katika Dini Yake na kuiasisi na kuinasibisha katika Dini ya Allaah na Shari´ah Yake.
Leo wananasibisha Bid´ah katika Manhaj ya Salaf – tunaomba kinga kwa Allaah.
Manhaj ya Salaf ndio Dini ya Allaah ya haki. Kunasibisha Bid´ah katika Dini ya Allaah, pasina kujali ni Bid´ah gani, ni kumsemea uongo Allaah (´Azza wa Jall).
Muhusika: ´Allaamah Rabiy´ bin Haadiy al-Madkhaliy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://subulsalam.com/play.php?catsmktba=26899
Imechapishwa: 20/05/2015
https://firqatunnajia.com/kila-mtu-wa-bidah-ni-mwongo/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
