Swali: Ni jambo linalojulikana ya kwamba waumini Peponi wanatofautiana katika fadhila. Vipi tutaoanisha hili na kwamba muumini atapata kila ambacho anakitamani Peponi? Je, akitamani daraja ya ambaye yuko juu yake ataipata?
Jibu: Hapana, hawezi kuipata. Lakini hata hivyo haoni kama kuna ambaye ana furaha kama yeye. Allaah ataweka ndani ya nafsi yake raha na ukinaikaji na neema mpaka aone kuwa hakuna ambaye ana mazuri kumshinda. Peponi hakuna hasadi wala chuki. Kila mmoja atakuwa ni mwenye kufurahikia yale aliyomo.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (63) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1432-03-25.mp3
- Imechapishwa: 21/08/2020
Swali: Ni jambo linalojulikana ya kwamba waumini Peponi wanatofautiana katika fadhila. Vipi tutaoanisha hili na kwamba muumini atapata kila ambacho anakitamani Peponi? Je, akitamani daraja ya ambaye yuko juu yake ataipata?
Jibu: Hapana, hawezi kuipata. Lakini hata hivyo haoni kama kuna ambaye ana furaha kama yeye. Allaah ataweka ndani ya nafsi yake raha na ukinaikaji na neema mpaka aone kuwa hakuna ambaye ana mazuri kumshinda. Peponi hakuna hasadi wala chuki. Kila mmoja atakuwa ni mwenye kufurahikia yale aliyomo.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (63) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1432-03-25.mp3
Imechapishwa: 21/08/2020
https://firqatunnajia.com/kila-mmoja-ataridhika-na-alichonacho-peponi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)