Swali: Hudhayfah amesimulia kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alisema katika swalah ya usiku:
رب اغفر لي وارحمني وعافني
“Mola nisamehe, nirehemu na uniafu.”
Je, kitendo chake kinafahamisha kuwa inapendeza?
Jibu: Ndio, du´aa anayoomba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ni nzuri.
Swali: Kati ya Sujuud mbili?
Jibu: Du´aa anayoomba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ni nzuri. Sunnah inakuwa kwa matendo, maneno na kulikubali kwake jambo (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ni nzuri.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23119/موضع-دعاء-اغفر-لي-وارحمني-وعافني
- Imechapishwa: 04/11/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)