Swali: Vipi ikiwa nguo inafika kwenye kongo mbili za miguu na haiendi chini yake?
Jibu: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
”Kilichoko chini ya fundo mbili za miguu ni Motoni.”
Lakini kile kitendo cha yeye kuinyanyua kunampamba na kumtia mbali zaidi na utata.
Swali: Vipi ikiwa nguo inagusa kongo mbili za miguu?
Jibu: Hapana vibaya. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
”Kilichoko chini ya fundo mbili za miguu ni Motoni.”
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/21630/ ما-حد-اسبال-الثياب
- Imechapishwa: 03/09/2022
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)