Swali: Vipi ikiwa nguo inafika kwenye kongo mbili za miguu na haiendi chini yake?
Jibu: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
”Kilichoko chini ya fundo mbili za miguu ni Motoni.”
Lakini kile kitendo cha yeye kuinyanyua kunampamba na kumtia mbali zaidi na utata.
Swali: Vipi ikiwa nguo inagusa kongo mbili za miguu?
Jibu: Hapana vibaya. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
”Kilichoko chini ya fundo mbili za miguu ni Motoni.”
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/21630/ ما-حد-اسبال-الثياب
- Imechapishwa: 03/09/2022
Swali: Vipi ikiwa nguo inafika kwenye kongo mbili za miguu na haiendi chini yake?
Jibu: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
”Kilichoko chini ya fundo mbili za miguu ni Motoni.”
Lakini kile kitendo cha yeye kuinyanyua kunampamba na kumtia mbali zaidi na utata.
Swali: Vipi ikiwa nguo inagusa kongo mbili za miguu?
Jibu: Hapana vibaya. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
”Kilichoko chini ya fundo mbili za miguu ni Motoni.”
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/21630/ ما-حد-اسبال-الثياب
Imechapishwa: 03/09/2022
https://firqatunnajia.com/kikomo-cha-kuburuta-nguo/