Swali: Kikomo cha chini kabisa cha kufanya utulivu katika Rukuu´ na Sujuud ni kile kiwango cha kuleta Tasbiyh moja?
Jibu: Akifanya utulivu na akaleta Tasbiyh moja inatosheleza. Sunnah ni kuleta Tasbiyh zisizopungua tatu. Wajibu ni kuleta Tasbiyh moja. Utulivu ni nguzo ya lazima. Tasbiyh ni lazima.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23774/ما-الحد-الادنى-للطمانينة-في-الصلاة
- Imechapishwa: 25/04/2024
Swali: Kikomo cha chini kabisa cha kufanya utulivu katika Rukuu´ na Sujuud ni kile kiwango cha kuleta Tasbiyh moja?
Jibu: Akifanya utulivu na akaleta Tasbiyh moja inatosheleza. Sunnah ni kuleta Tasbiyh zisizopungua tatu. Wajibu ni kuleta Tasbiyh moja. Utulivu ni nguzo ya lazima. Tasbiyh ni lazima.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23774/ما-الحد-الادنى-للطمانينة-في-الصلاة
Imechapishwa: 25/04/2024
https://firqatunnajia.com/kikomo-cha-chini-kabisa-cha-utulivu-katika-rukuu-na-sujuud/