Swali: Kichinjwa cha mtoto ambaye hajabaleghe ni halali?
Jibu: Ndio. Ikiwa ni mtoto mwenye uwezo wa kupambanua, ni halali kichinjwa chake. Kwa sababu atahudhurisha na yuko na nia na makusudio.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (42)
- Imechapishwa: 09/12/2023
Swali: Kichinjwa cha mtoto ambaye hajabaleghe ni halali?
Jibu: Ndio. Ikiwa ni mtoto mwenye uwezo wa kupambanua, ni halali kichinjwa chake. Kwa sababu atahudhurisha na yuko na nia na makusudio.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (42)
Imechapishwa: 09/12/2023
https://firqatunnajia.com/kichinjwa-cha-mtoto-ambaye-hajabaleghe/