Swali: Bora ni kutoa Khutbah kwa kutazamia kwenye karatasi au kupitia… kwa ajili ya kumwigiliza Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam)?
Jibu: Kutegemea na wepesi wa mtu. Bora ni kimoyo kwa yule ambaye anaweza. Ambaye hana uwezo huo aandike na haina neno. Bora na vyema zaidi ni kutoa kimoyo kwa ajili ya kuikusanya mioyo ya watu. Asipoweza aandike na aisome kutoka ndani ya karatasi yake.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22721/هل-الخطبة-عن-ظهر-قلب-افضل-من-قراءتها
- Imechapishwa: 04/08/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)