Swali: Kukiwepo mtu anayesema kuwa ni katika Ahl-us-Sunnah wal-Jamaa´ah na kwamba anafuata mfumo wa Salaf lakini anaenda kinyume nao katika moja katika misingi yao ambapo anafanya uasi kwa watawala au analingania kufanya uasi dhidi yao…
Jibu: Huyu sio katika Ahl-us-Sunnah. Huyu ni katika Khawaarij na sio katika Ahl-us-Sunnah. Yule ambaye anachochea katika fitina na katika kuleta mpasuko ni Khaarijiy na ni katika Khawaarij. Haya ni madhehebu ya Khawaarij.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (29)
- Imechapishwa: 11/02/2022
Swali: Kukiwepo mtu anayesema kuwa ni katika Ahl-us-Sunnah wal-Jamaa´ah na kwamba anafuata mfumo wa Salaf lakini anaenda kinyume nao katika moja katika misingi yao ambapo anafanya uasi kwa watawala au analingania kufanya uasi dhidi yao…
Jibu: Huyu sio katika Ahl-us-Sunnah. Huyu ni katika Khawaarij na sio katika Ahl-us-Sunnah. Yule ambaye anachochea katika fitina na katika kuleta mpasuko ni Khaarijiy na ni katika Khawaarij. Haya ni madhehebu ya Khawaarij.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (29)
Imechapishwa: 11/02/2022
https://firqatunnajia.com/khawaarij-na-sio-ahl-us-sunnah-wal-jamaaah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket