Swali: Ipi hukumu ya Uislamu kwa mwenye kuzini na msichana wa baba yake? Je, ni sahihi atahukumiwa kupigwa bakora?
Jibu: Hukumu yake ni ya mzinifu. Ikiwa ni muhswan [kishawahi kuingia katika ndoa] apigwe mawe na kama bado ni bikira [hajawahi kuingia katika ndoa] apigwe bakora mia na [sauti haisikiki]. Kwa kuwa amefanya jarima kubwa tunaomba kinga kwa Allaah.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://subulsalam.com/play.php?catsmktba=12780
- Imechapishwa: 03/05/2015
Swali: Ipi hukumu ya Uislamu kwa mwenye kuzini na msichana wa baba yake? Je, ni sahihi atahukumiwa kupigwa bakora?
Jibu: Hukumu yake ni ya mzinifu. Ikiwa ni muhswan [kishawahi kuingia katika ndoa] apigwe mawe na kama bado ni bikira [hajawahi kuingia katika ndoa] apigwe bakora mia na [sauti haisikiki]. Kwa kuwa amefanya jarima kubwa tunaomba kinga kwa Allaah.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://subulsalam.com/play.php?catsmktba=12780
Imechapishwa: 03/05/2015
https://firqatunnajia.com/kaka-amezini-na-dada-yake/