Swali: Ufaransa tunasoma kiarabu msikitini. Je, inajuzu kwa kafiri kuingia msikitini ili ajifunze lugha ya kiarabu?
Jibu: Ni sawa. Inafaa kwa kafiri akaingia msikitini. Manaswara waliingia msikitini kumtembelea Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kwa ajili ya haja. Akamfungamanisha Thumaamah bin Athaal msikitini kabla hajasilimu. Inafaa kwa kafiri kuingia msikitini kwa ajili ya haja.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (23) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tahid-25-07-1435-01.mp3
- Imechapishwa: 11/02/2017
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)