Swali: Inajuzu kuswali swalah ya jeneza makaburini kwa sababu ya kupitwa na swalah ya kwanza kwa maiti?
Jibu: Ni sawa. Makatazo ya kuswali kwenye makaburi hayahusiani na swalah ya jeneza kwenye makaburi. Suala hili limevuliwa.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (23) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tahid-25-07-1435-01.mp3
- Imechapishwa: 11/02/2017
Swali: Inajuzu kuswali swalah ya jeneza makaburini kwa sababu ya kupitwa na swalah ya kwanza kwa maiti?
Jibu: Ni sawa. Makatazo ya kuswali kwenye makaburi hayahusiani na swalah ya jeneza kwenye makaburi. Suala hili limevuliwa.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (23) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tahid-25-07-1435-01.mp3
Imechapishwa: 11/02/2017
https://firqatunnajia.com/hakuna-neno-kuswali-swalah-ya-jeneza-makaburini/
Mshirikishe mwenzako:
- Share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Print (Opens in new window) Print
- Email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Share on X (Opens in new window) X
- Share on Pocket (Opens in new window) Pocket