Swali: Kuna mtu amemjamii mke wake mara tatu katika mchana wa Ramadhaan. Je, analazimika kutoa kafara tatu au kafara moja tu?
Jibu: Kila siku moja ina kafara yake. Analazimika kutoa kafara tatu pamoja na kutubia. Tunamuomba Allaah usalama.
Swali: Je, haitoshi kutoa kafara moja?
Jibu: Hapana, kila siku ina kafara yake.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22396/هل-تتعدد-كفارة-الجماع-في-رمضان-اذا-تكرر
- Imechapishwa: 16/03/2023