Swali: Kuna mtu amemjamii mke wake mara tatu katika mchana wa Ramadhaan. Je, analazimika kutoa kafara tatu au kafara moja tu?
Jibu: Kila siku moja ina kafara yake. Analazimika kutoa kafara tatu pamoja na kutubia. Tunamuomba Allaah usalama.
Swali: Je, haitoshi kutoa kafara moja?
Jibu: Hapana, kila siku ina kafara yake.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22396/هل-تتعدد-كفارة-الجماع-في-رمضان-اذا-تكرر
- Imechapishwa: 16/03/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)