Swali: Je, imesuniwa kuswali kwa ajili ya swalah ya ´iyd?

Jibu: Baadhi ya wanazuoni wanaona kuwa josho hili ni kwa ajili ya ´iyd na ´Arafah. Lakini sikumbuki dalili juu ya hilo.

  • Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (22)
  • Imechapishwa: 01/10/2021