Swali: Baadhi ya watu wanasema kuwa pindi jogoo anawika kwamba amemuona Malaika.
Jibu: Imepokelewa katika Hadiyth kwamba:
“Amemuona Malaika.”
Mkimsikia basi semeni:
اللهم إني أسألك من فضلك
“Ee Allaah! Hakika mimi nakuomba kutokana na fadhilah Zako.”
Msimtukane.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Imechapishwa: 22/10/2022
Swali: Baadhi ya watu wanasema kuwa pindi jogoo anawika kwamba amemuona Malaika.
Jibu: Imepokelewa katika Hadiyth kwamba:
“Amemuona Malaika.”
Mkimsikia basi semeni:
اللهم إني أسألك من فضلك
“Ee Allaah! Hakika mimi nakuomba kutokana na fadhilah Zako.”
Msimtukane.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Imechapishwa: 22/10/2022
https://firqatunnajia.com/jogoo-anapowika/