Swali: Mtu aswali Dhuhaa kabla ya kwenda kazini au aiswali kazini?
Jibu: Bora aiswali kabla ya kazi. Bora aiswali nyumbani kwake muda wa kuwa jua limekwishachomoza. Kazini anatakiwa kujishughulisha na kazi.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23010/حكم-اداء-سنة-الضحى-في-العمل
- Imechapishwa: 13/10/2023