Swali: Vipi nitaunga kizazi kwa wasichana wa ami na shangazi zangu ikiwa sio Mahaarim zangu?
Jibu: Utaunga kizazi kwa kuwatendea wema, kuwasalimia, kuuliza juu ya hali zao na kuwasaidia wakihitajia.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Qaa´idah Jaliylah fiyt-Tawassul wal-Wasiylah (24) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/2136
- Imechapishwa: 12/07/2020
Swali: Vipi nitaunga kizazi kwa wasichana wa ami na shangazi zangu ikiwa sio Mahaarim zangu?
Jibu: Utaunga kizazi kwa kuwatendea wema, kuwasalimia, kuuliza juu ya hali zao na kuwasaidia wakihitajia.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Qaa´idah Jaliylah fiyt-Tawassul wal-Wasiylah (24) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/2136
Imechapishwa: 12/07/2020
https://firqatunnajia.com/jinsi-ya-kuunga-kizazi-na-mabinamu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)