Swali: Baba yangu na ndugu zangu hawaswali msikitini na ninawanasihi sana lakini hawaitikii. Bali mara nyingi wakati ninaporudi kutoka msikitini ninakuta baba yangu anavuta bangi na anatazama TV. Je, nijiunge na kikao chao baada ya haya? Je, ninapata dhambi kwa kukaa nao au…
Jibu: Ni lazima kwako unawanasihi na uendelee kufanya hivo. Usiwaache. Endelea kuwanasihi na usinyamazie maovu na usikate tamaa juu ya uongofu wao. Kuwa na subira juu ya wao.
Kuhusu kukaa nao, ikiwa unaweza kutoka nyumbani na kueshi mwenyewe itakuwa ni wajibu kwako kutoka nyumbani na usikae nao ilihali wako katika hali hii. Ama ikiwa huwezi kueshi mwenyewe eshi nao na uwe ni mwenye uvumilivu katika kuwanasihi na kuwakataza.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/al_makruf%202-%2011-08-1433.mp3
- Imechapishwa: 15/06/2015
Swali: Baba yangu na ndugu zangu hawaswali msikitini na ninawanasihi sana lakini hawaitikii. Bali mara nyingi wakati ninaporudi kutoka msikitini ninakuta baba yangu anavuta bangi na anatazama TV. Je, nijiunge na kikao chao baada ya haya? Je, ninapata dhambi kwa kukaa nao au…
Jibu: Ni lazima kwako unawanasihi na uendelee kufanya hivo. Usiwaache. Endelea kuwanasihi na usinyamazie maovu na usikate tamaa juu ya uongofu wao. Kuwa na subira juu ya wao.
Kuhusu kukaa nao, ikiwa unaweza kutoka nyumbani na kueshi mwenyewe itakuwa ni wajibu kwako kutoka nyumbani na usikae nao ilihali wako katika hali hii. Ama ikiwa huwezi kueshi mwenyewe eshi nao na uwe ni mwenye uvumilivu katika kuwanasihi na kuwakataza.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/al_makruf%202-%2011-08-1433.mp3
Imechapishwa: 15/06/2015
https://firqatunnajia.com/jinsi-ya-kutangamana-na-wanafamilia-wasioswali/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)