Swali: Je, inajuzu kukaa peke yangu na nikazungumza kwa kuamrisha mema na kukataza maovu kwa lengo anisikie jini aliyeko pembezoni mwangu?
Jibu: Hapana. Wape mawaidha na kuwanasihi wanaadamu. Ama kuhusu majini wana waumini wa kijini wanaowatosheleza. Waache majini wapewe mawaidha na majini wenzake.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/al_makruf%202-%2011-08-1433.mp3
- Imechapishwa: 15/06/2015
Swali: Je, inajuzu kukaa peke yangu na nikazungumza kwa kuamrisha mema na kukataza maovu kwa lengo anisikie jini aliyeko pembezoni mwangu?
Jibu: Hapana. Wape mawaidha na kuwanasihi wanaadamu. Ama kuhusu majini wana waumini wa kijini wanaowatosheleza. Waache majini wapewe mawaidha na majini wenzake.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/al_makruf%202-%2011-08-1433.mp3
Imechapishwa: 15/06/2015
https://firqatunnajia.com/al-fawzaan-kuhusu-mtu-kuwapa-mawaidha-majini/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)