Swali: Ni ipi nasaha yako kwa mwanamke alosibiwa na jini na linajaribu kumtenganisha baina yake yeye na mume wake?
Jibu: Ni juu yako kuwa na subira na kutarajia malipo kwa Allaah. Ajitibishe kwa Ruqyah.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (31) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1430-10-9.mp3
- Imechapishwa: 20/08/2020
Swali: Ni ipi nasaha yako kwa mwanamke alosibiwa na jini na linajaribu kumtenganisha baina yake yeye na mume wake?
Jibu: Ni juu yako kuwa na subira na kutarajia malipo kwa Allaah. Ajitibishe kwa Ruqyah.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (31) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1430-10-9.mp3
Imechapishwa: 20/08/2020
https://firqatunnajia.com/jini-linataka-kunitenganisha-na-mume-wangu/