Swali: Vipi kuhusu kumwita mtu jina la utani analochukia?

Jibu: Haidhuru ikiwa ndio jina analotambulika kwalo. Ikiwa anajulikana kwa jina hilo haiwi ni usengenyi.

Swali: Ikiwa jina lake ni Muhammad kwa nini tumwite kiguru (أعرج)?

Jibu: Haidhuru. Haina neno ikiwa ndio jina analotambulika kwalo.

  • Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24146/هل-من-الغيبة-تلقيب-الشخص-بما-يكره
  • Imechapishwa: 07/09/2024