Swali: Je, inafaa kwa mwanamke kucheza kati ya wanawake wenzake peke yake?
Jibu: Mwanamke huyu ajifunze Qur-aan. Hebu ajifunze Qur-aan na aelewe kitu hiki. Mimi siwezi kusema kama inafaa kwake kucheza kwa sababu sijui ni kucheza kwa namna gani. Lakini hebu ajifunze Qur-aan na ajifunze Sunnah za Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Asiwe ni kitu cha kuchezea mikononi mwa wanawake kama mpiga mikononi mwa watoto.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdullaah bin ´Abdir-Rahmaan al-Ghudayyaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Usrah https://godian.af.org.sa/sites/default/files/2017-10/ftawa-osrh-godian.mp3
- Imechapishwa: 17/09/2022
Swali: Je, inafaa kwa mwanamke kucheza kati ya wanawake wenzake peke yake?
Jibu: Mwanamke huyu ajifunze Qur-aan. Hebu ajifunze Qur-aan na aelewe kitu hiki. Mimi siwezi kusema kama inafaa kwake kucheza kwa sababu sijui ni kucheza kwa namna gani. Lakini hebu ajifunze Qur-aan na ajifunze Sunnah za Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Asiwe ni kitu cha kuchezea mikononi mwa wanawake kama mpiga mikononi mwa watoto.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdullaah bin ´Abdir-Rahmaan al-Ghudayyaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa al-Usrah https://godian.af.org.sa/sites/default/files/2017-10/ftawa-osrh-godian.mp3
Imechapishwa: 17/09/2022
https://firqatunnajia.com/jifunze-qur-aan-na-sunnah-badala-ya-kucheza/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)