Swali: Mtu kufuga wanyama nyumbani kama mfano wa kuku na wanyamahoa ni katika kuwaudhi majirani?
Jibu: Hakuna mafungamano. Ajizuilie maudhi ya wanyama hao na kutakuwa hakuna neno. Awalee kuku na wanyama wengineo na hapana vibaya. Lakini ajizuilie kumuudhi jirani.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/21694/هل-من-اذية-الجيران-تربية-الحيوانات
- Imechapishwa: 17/09/2022
Swali: Mtu kufuga wanyama nyumbani kama mfano wa kuku na wanyamahoa ni katika kuwaudhi majirani?
Jibu: Hakuna mafungamano. Ajizuilie maudhi ya wanyama hao na kutakuwa hakuna neno. Awalee kuku na wanyama wengineo na hapana vibaya. Lakini ajizuilie kumuudhi jirani.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/21694/هل-من-اذية-الجيران-تربية-الحيوانات
Imechapishwa: 17/09/2022
https://firqatunnajia.com/fuga-wanyama-wako-na-usiwaudhi-majirani/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)